Headlines

Damu ya Yesu ina Nguvu

DAMU YA  YESU INA NGUVU YA KIROHO  KUMSHINDA  IBILISI

UFU12:11Nao wakamshinda kwa damu ya mwana kondoo  na kwa neno la ushuhuda  wao; ambao  hawakupenda maisha yao hata kufa

DAMU ya Yesu  Kristo in nguvu ya kuhalibu Kila maagano ya kuzimu na makafara

Kwani kupitia damu ya Yesu Kristo  tuna pata ushindi  dhidi mkuu wa uasi Ibilisi 

Kupitia damu ya Yesu  tunashinda  Kila Vita  vya maisha  na katika huduma  kupitia damu ya Yesu   kila matatizo yote ya duniani hushugulikiwa na damu ya Yesu   kwani damu ya Yesu inauwezo wa  kuharibu kazi zote za Ibilisi roho ya uchawi mapepo ya ulevi,ushoga urawiti ufiraji usagaji ufutaji bangi sigara

DAMU yake Yesu Kristo ndiyo inaweza kufuta tabia zote chafu ambazo kwa  ufahamu wa kibinadamu umeshindikana
Kwani watu walijitaidi kuacha ushoga,usagaji uvutaji sigara uzinzi wameshindwa na wengine walijitaidi kwa mwezi mmoja tu katika mwaka RAKINI miezi kumi na moja ni uzinzi, ufiraji ufilwaji,usagaji elevi na ufutaji sigara ni Kama kawaida.
Lakini  ukimpokea  Kristo Yesu atakuwezesha kushinda hizo tabia sugu ambazo zimekushinda  kuacha kwa akili zako.
 Kwani  tunaishi katika dunia iliyojaa  na mapepo mchafu  ya fahari,uasi  na uovu  hivyo pepo mchafu  husaidiwa na maelfu  ya mapepo  wenye tabia moja. Kwani mapambano yote ya  yetu   yanahusiana  kabisa na  mapepo machafu  ya Anga hewani  katika  sehemu  mbalimbali za ichi na duniani kwa ujumla wake

Ndiyo maana Yesu  Kristo alijitoa kafara kwa damu  yake kusudi sisi wanadamu wote duniani tupate uzima wa milele
Isa53:18

Ndugu yangu kabidhi leo  maisha kwa Yesu  Kristo kusudi damu ya    Yesu Inene  Mema Sasa tofauti na Hapo kuzimu inakuhusu na wakati wa parapanda
Ziwa la.moto wa jehanamu lina kuhusu
umekuwa  mbishi  kuokoka sasa zamu yako inakuja
Hakuna wa kukuombea tubu leo na uokoke kwani baada kifo ni hukumu .

Maombi na maombezi kwa watu wote
0672870833

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Yote Yanawezekana Kwa Yesu. Designed by OddThemes