Headlines

KUTOKWENDA NYUMBA ZA IBADA NI DALILI YA KUMWACHA MUNGU.

KUTOKWENDA NYUMBA ZA IBADA NI DALILI YA KUMWACHA MUNGU.
Ole wake, taifa lenye dhambi, watu wanaochukua mzigo wa uovu, wazao wa watenda mabaya, watoto wanaoharibu; wamemwacha Bwana, wamemdharau yeye aliye Mtakatifu wa Israeli, wamefarakana naye na kurudi nyuma.
Isaya 1:4

Taifa lenye dhambi
Ni watu wanao mkosea Mungu kwa mawazo
Maneno na matendo.
Watu hawa wanachukua mizigo ya uovu
Wanaikumbatia dhambi.
Uzao wa wana wao ni wakutenda mabaya.
#Kumwacha #Mungu #ni #dhambi
#Kuto #kwenda #nyumba #za #ibada #ni #DALILI #ya #kumwacha #Mungu.
Na
Nidalili ya kamdharau Muumba wako.
Na
Niishara humwamini Mungu wako unaye muomba kila siku .
Na
Niishara ya kufarakana na Mungu.
Na
Niishara ya kurudi Nyuma kiimani.

#Wakristo.
Sisi hatuongozwi na hali halisi.
#Sisi #tunaongozwa #na #NENO #LA #MUNGU.
Naamini katika Mungu hakuna
Linalo shindikana.
By
MWJ.WILLIAM S. MCHOME
MAN OF GOD
✝️🔯

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Yote Yanawezekana Kwa Yesu. Designed by OddThemes