Headlines


Njaa inaweza
Kukuua hata kabla ya korona.
Huu
Msemo wa
Stay home huu
Unafanya watu kuwa wavivu
Wa kufanya kazi.
Wengine wakiwa
Wamejifungia.
Wengine
Wanapiga pesa za kufa mtu
Mtazame Mr.Jeff Bezos.
Mfanya biashara bilionea namba moja Duniani kwa sasa aliye kataa kujifungia ndani kisa korona.
Tangu janga hili lianze la korona utajiri wake unazidi Kupaa na kushikilia rekodi ya kuwa bilionea namba moja duniani
Why
Anatumia korona kama Fulsa na sio tatizo.
Huyu ni mwasisi wa AMAZON
biashara mtandaoni .
Ameajiri watu mara mbili ya mwanzo
Ameongeza muda wa kupiga kazi.
Anavuna pesaa.
Tu
Wewe unakufa na njaa kisa korona
Mwingine anatajirika kisa korona.
Kaa mkao
Tatizo ukiniona ni tatizo
Hakika litakutesa
Chukulia tatizo kama Fulsa
Litakuneemesha.
Korona ni tatizo
Lililobeba Fulsa
Tumia Fulsa katika tatizo
Utakuwa heri na mwenye mafanikio.
Usijifunze kwa wenye maneo mengi
Jifunze kwa wanao fanya mengi.
Malengo yako Wakuyapigania
Mpaka yatimie ni wewe mwenyewe.
Wakuua mipango yako
Sio korona
Bali ni Mungu
Usitishike .(chukua tahadhari)
Usikubali kukataa tamaa Simama
Tenaa
Kipekee utashindaaa na
Tutashinda.
By
Mwnj.WILLIAM S.MCHOME
MAN OF GOD
✝️🔯

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Yote Yanawezekana Kwa Yesu. Designed by OddThemes