Headlines

Dawa ya Covid 19 korona na uchumi

MTOTO WA MUNGU 
upendwaye sanaaah.
Na Mungu.
Fahamu
COVID 19
Inaua
Ni gonjwa ambalo
Nyuma yake limebeba Roho ya Mauti.
Shida sio Gonjwa
Shida ni Roho ya mauti iliyo
Nyuma ya Gonjwa hili.
Muhimu ujue
Unapo
Ingia katika maombi
Pambana
Kukataa  *ROHO YA MAUTI*
pili
Tahadhari ni Muhimu
Lazima
Uvae barakoa
Nawa na sabuni vyema
Ukihisi umegusa maeneo
Hatarishi.
Usipeane Mikono na watu.
Usikumbatiane na mtu .
Tatu
Jipende
Mwenyewe
Jilinde utalinda na wengine.
Pia
Usisahau
*HOFU YA KORONA INAUA KULIKO KORONA YENYEWE*
simama kidete
Katika imani
Utauona
Mkono  wa
Mungu.
Cha mwisho
Mwj.william mchome nasema.
*kujifungia ndani na kuto kutoka njee kutafuta pesa kisa korona ni kualika njaa nyumbani*
*Toka kafanye kazi usiangamie kwa kukisa maarifa*
Hakikisha unachukua
Tahadhari.
Na maombi kwa
Mungu ndio
Silaha pekee
Amini katika Neno la Mungu
Hakika tutashinda.
By
*Mwj.William S.Mchome*
✝️đŸ”¯
*Injili kwa kila kiumbe*

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Yote Yanawezekana Kwa Yesu. Designed by OddThemes