Headlines

Mambo yanayo hitajika wakati wa kufanya maombi

YAPO MAMBO MANNE (4) YANAYOHITAJIKA WAKATI WA KUFANYA MAOMBI YENYE »TIJA.

1)- IMANI:»πŸ“– Marko 11:25

2)- NEEMA:»πŸ“– Zekaria 12:10

3)- NENO LA MUNGU:»πŸ“– Yohana 15:7

4)- ROHO MTAKATIFU:»πŸ“– Warumi 8:26
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
YAFUTAYO NI MAANDIKO BAADHI KWA AJILI YA KUTUMIA WAKATI WA KUOMBA UPONYAJI.
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
IMEANDIKWA: “Wala hapana mwenyeji atakayesema, Mimi mgonjwa; watu wakaao humo watasamehewa uovu wao.”
πŸ“–» ISAYA 33:24

IMEANDIKWA: “Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote, Aukomboa uhai wako na kaburi, Akutia taji ya fadhili na rehema,” πŸ“–» ZABURI 103:3-4

IMEANDIKWA: “Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.” πŸ“–» YEREMIA 33:6

IMEANDIKWA: “Na BWANA atakuondolea ugonjwa wote; wala hatatia juu yako maradhi yo yote mabaya uyajuayo ya Misri, lakini atayaweka juu ya wote wakuchukiao.”
πŸ“–» KUM/ TORATI 7:15

IMEANDIKWA: “Sitakufa bali nitaishi,
Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.”
πŸ“–» ZABURI 118:17
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
BWANA AKUJALIE UPONYAJI NA AFYA KWA UTUKUFU WA JINA KUU LA YESU KRISTO !! πŸ™

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Yote Yanawezekana Kwa Yesu. Designed by OddThemes