Headlines

Mambo yanayo hitajika wakati wa kufanya maombi

YAPO MAMBO MANNE (4) YANAYOHITAJIKA WAKATI WA KUFANYA MAOMBI YENYE »TIJA.

1)- IMANI:»📖 Marko 11:25

2)- NEEMA:»📖 Zekaria 12:10

3)- NENO LA MUNGU:»📖 Yohana 15:7

4)- ROHO MTAKATIFU:»📖 Warumi 8:26
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
YAFUTAYO NI MAANDIKO BAADHI KWA AJILI YA KUTUMIA WAKATI WA KUOMBA UPONYAJI.
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
IMEANDIKWA: “Wala hapana mwenyeji atakayesema, Mimi mgonjwa; watu wakaao humo watasamehewa uovu wao.”
📖» ISAYA 33:24

IMEANDIKWA: “Akusamehe maovu yako yote, Akuponya magonjwa yako yote, Aukomboa uhai wako na kaburi, Akutia taji ya fadhili na rehema,” 📖» ZABURI 103:3-4

IMEANDIKWA: “Tazama, nitauletea afya na kupona, nami nitawaponya; nami nitawafunulia wingi wa amani na kweli.” 📖» YEREMIA 33:6

IMEANDIKWA: “Na BWANA atakuondolea ugonjwa wote; wala hatatia juu yako maradhi yo yote mabaya uyajuayo ya Misri, lakini atayaweka juu ya wote wakuchukiao.”
📖» KUM/ TORATI 7:15

IMEANDIKWA: “Sitakufa bali nitaishi,
Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.”
📖» ZABURI 118:17
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
BWANA AKUJALIE UPONYAJI NA AFYA KWA UTUKUFU WA JINA KUU LA YESU KRISTO !! 🙏

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © 2025 Yote Yanawezekana Kwa Yesu. Designed by OddThemes