Headlines

Tumia akili acha ulevi

Kila ukinywa bia 1 umekunywa tofali 2 za kujengea. Bia 1 kwa bei ya kawaida ni Tsh.2500/= na tofali 1 la inch 6 kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi Tsh.1300/=. Kama unakunywa wastani wa bia 5 kwa siku (kipimo cha kawaida) it means unakunywa bia 1,825 kwa mwaka sawa na tofali 3,650. Tofali 3,650 zinatosha kujenga nyumba 1 ya room 3 self contained ya kisasa. Kama unakuwa na kidosho, atakuwa amekunywa gharama za ufundi. wapambe wamekunywa za bati na misumari. hii inamaanisha kuwa kama wewe ni mnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau nyumba 1 au 2. Sasa hebu jiulize tangu umeanza bia hadi leo umeshakunywa nyumba ngapi?

 Anyway.. tuache kufananisha nyumba na vitu vya maana kama bia.
Wewe kunywa tuyuuuuh
✝️🔯
EV.MCHOME

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © Yote Yanawezekana Kwa Yesu. Designed by OddThemes